Swahili - Grammatik
Die vier Hauptzeitformen (auch mit einsilbigen Verben)
Stufe 2: (Obere) Mittelstufe
Bitte klicken und dann konjugieren Sie die Verben!

Beispiel
Leo sisi (kufanya) tunafanya mazoezi.
Leo sisi (kutofanya) hatufanyi mazoezi.


(1) Leo sisi (kufanya) mazoezi.
(2) Juzi mimi (kuandika) barua.
(3) Kesho kutwa mimi (kusoma) kitabu cha Kiswahili.
(4) Mimi na mke/mume wangu (kwenda) Tanzania mwaka kesho.
(5) Wewe na mtoto (kuondoka) lini?
(6) Mwanafunzi sasa (kupenda) sana (kujifunza) Kiswahili.
(7) Kesho Robert na Maria (kuja) nyumbani.
(8) Mimi kwa sasa (kuwa) mshauri.
(9) Kwa nini mwalimu leo (kutotaka) kuandika ubaoni?
(10) Kwa nini wewe na mwanafunzi sasa (kutokula) wali?
(11) Juzi Bwana Jumbe (kuwa na) mafua.
(12) Je, wewe leo (kutokuwa na) hela?

////